Salamu za Rambirambi toka kwa Nyalusi.
Nakumbuka wakati namkabidhi Hayati Steven Kanumba Medani na Certificate kama Muigizaji Bora wa Mwaka 2011 wa ZIFF ndani ya Maisha Club mwaka huu February na baada ya hapo tukaelekea Zanzibar pamoja. Medani hii amezikwa nayo kitu kinachonipa faraja sana na kuonamchango wake kwa sanaa ya Filamu Tanzania. RIP STEVEN KANUMBA
LIVE KUTOKA KINONDONI MAKABURINI KWENYE MAZISHI YA STEVEN KANUMBA
Hii ni barabara ya Kinondoni kuingia kwenye makaburi ya Kinondoni ilikuwa ni balaaaa yani dah, kule mbele ndio mwili wa marehemu Steven Kanumba ndio unakuja
Kwa wingi wa watu ilibidi watu wapande juu ya miti lakini baadae waliamuriwa washuke chini na kamanda Kova
Ray akiwa aamini kama swaiba wake ndio anakwenda kwenye nyumba yake ya milele
Charlz Baba akiwa na wenzake kutoka Mashujaa Band, Charz ameniambia walikuwa wanatokea Morogoro so waliweza kuwahi makaburini
LIVE KUTOKA LEADERS CLUB KUUAGA MWILI WA MAREHEMU STEVEN KANUMBA
Wanakwaya wakiimba nyimbo za uzuni.
Hii ndio sehemu ambayo mwili wa marehemu Kanumba unatarajiwa kuwekwa
Hawa watoto wanaopita ndio watoto waliokuwa wakicheza movie na marehemu Kanumba enzi ya uhai wake
Mama yake Kanumba aliyenyoosha mkono juu kuwapungia watu waliokuja uwanjani
Huyu dada hapa mbele alikuwa akilia kwa uchungu sana hadi nilikuwa namuonea huruma
Hemed na Yusuph Mlela wakiingia
Makamu wa rais Dk. Mohamed Ghalib Bilali
Mke wa rais Mama Salma Kikwete
Mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi akitoa heshima zake za mwisho kwenye mwili wa marehem.

No comments:
Post a Comment
hey! whats up! we are happy to attend that lever we need your help by contribute with idea and other things. thank you