PREZZO ATAKA KUONDOKA BBA
Prezzo ame muambia Biggie kuwa anataka kuondoka ndani ya mjengo wa BBA.Katika kile kisichotegemewa, Prezzo amemwambia Biggie kuwa yeye si mfungwa na anaweza kuondoka muda wowote anaotaka na bila shaka huu ndo muda wenyewe.Kauli hiyo iliyowashangaza wengi imetokana na Biggie kupiga marufuku matumizi ya kilevi ndani ya nyumba hiyo.Katika kile kilichoonekana kama malumbano na Keitta, Prezzo aliomba mlango ufunguliwe ili aondoke.Mfalme huyo wa bling wa Kenya amechukizwa na ukosefu wa mitungi mjengoni na hapendi kuambiwa na mtu yeyote kuwa hiyo ni issue ndogo na ya kupotezea tu.

No comments:
Post a Comment
hey! whats up! we are happy to attend that lever we need your help by contribute with idea and other things. thank you