Sunday, July 8, 2012

ZA KI BONGO BONGO


WOLPER NA WEMA SEPETU HAKUNA MBABE - WATOKA DROO


Mwamuzi akiamua mpambano uanze.
Wolper na Wema wakionyeshana ubabe.
Wema akipata mawaidha kutoka kwa mwalimu wake Rashid Matumla.
Waigizaji mahiri wa filamu nchini, Wema Sepetu na Jacqueline Wolper wametoka suruhu katika mpambano wao wa raundi 2 uliofanyika katika Uwanja wa Taifa jijini Dar e Salaam kwenye Tamasha la Usiku wa Matumaini.
PICHA NA GPL

WEMA SEPETU NA JACK WOLPER WAKIJIFUA DAKIKA CHACHE KABLA YA PAMBANO LAO - TAMASHA LA MATUMAINI


Wema Sepetu akipasha na mwalimu wake Rashid Matumla kabla ya pambano
Wema akijifua.
 
Wolper.
Wasanii mahiri wa Filamu, Wema Sepetu na Jacqueline Wolper wakijifua kabla ya mpambano wao leo

HIVI NDIVYO WABUNGE MASHABIKI WA SIMBA WALIVYOSHANGILIA USHINDI WAO DHIDI YA WABUNGE MASHABIKI WA YANGA

Mbunge wa Chadema na mshabiki mkubwa wa Simba Zitto Kabwe akishangilia baada ya kufunga penati
Wapinzani Bungeni Washkaji dimbani - Zitto Kabwe na William Ngeleja wakiongoza ushangiliaji wa wabunge wa Simba.
Wachezaji wa Simba (Wabunge) wakishangilia ushindi baada ya kuwafunga watani wao wa Yanga (Wabunge) kwa penalti 3-2.
Add caption
Yanga baada ya kipigo hicho.
Hivi ndivyo hali ilivyokuwa katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam katika mtanange wa watani wa jadi Simba na Yanga (Wabunge) wakati wa TAMASHA LA MATUMAINI ambapo wabunge wapenzi wa timu ya Simba wameibuka kidedea kwa penalti 3-2.  Simba wamefunga penalti 3 wakati Yanga wakifunga 2.

WABUNGE WA SIMBA WAWAKUNG'UTA WABUNGE WA YANGA MABAO 3-2 TAIFA LEO

Mbunge William Ngeleja akiingia dimbani kwenye mchezo wa leo uliofanyika kwenye dimba la taifa.

Benchi la wabunge wa Yanga.

...Kikosi cha Simba.
...Kikosi cha Yanga.


Wachezaji wa Yanga na Simba (Wabunge) wakiimba wimbo wa Taifa kabla ya mechi kuanza.
SOURCE: SHAFFIDAUDA.COM

No comments:

Post a Comment

hey! whats up! we are happy to attend that lever we need your help by contribute with idea and other things. thank you

Featured Post

RDC-Election : élections en 2017 ou sanctions de l’UE

Comme annoncé il y a quelques jours, les ministres des Affaires Etrangères des 28 Etats membres de l’UE (Union Européenne) s...