Tuesday, July 10, 2012


MESSI, ETO'O, PIQUE, PUYOL, FABREGAS WAHUDHURIA KWENYE NDOA YA ANDRES INIESTA - HUKU WACHEZAJI WA REAL MADRID WAKIMTOSA

Done deal: Iniesta got married just a week after winning Euro 2012
Mwanasoka bora wa michuano ya Euro 2012 - kiungo wa timu ya taifa ya Spain na Barcelona Andres Iniesta jana alifunga ndoa na mchumba wa siku nyingi kwenye sherehe ya ndoa hiyo iliyofanyika huko Barcelona Spain. Ndoa hiyo ilihudhuriwa na mastaa wengi akiwemo Samuel Eto'o, Gerad Pique, Cares Puyol, Cesc Fabregas, Victor Valdes, na wengine huku - wachezaji wenzake Iniesta wa timu ya taifa wanaotoka klabu ya Real Madrid wakimtosa Iniesta kwa kutohudhuria sherehe hizo.


Done deal: Iniesta got married just a week after winning Euro 2012

Special guests: Lionel Messi (left) and Samuel Eto'o (right) were present
Special guests: Lionel Messi (left) and Samuel Eto'o (right) were present
Special guests: Lionel Messi (left) and Samuel Eto'o (right) were present
Special guests: Lionel Messi (left) and Samuel Eto'o


Andres Iniesta akiwa mama yake mzazi

SOURCE: SHFFI DAUDA.COM

No comments:

Post a Comment

hey! whats up! we are happy to attend that lever we need your help by contribute with idea and other things. thank you

Featured Post

RDC-Election : élections en 2017 ou sanctions de l’UE

Comme annoncé il y a quelques jours, les ministres des Affaires Etrangères des 28 Etats membres de l’UE (Union Européenne) s...