ZANZIBAR FERRY AGAIN.
Inawezekana taarifa za ajali ya boti ya Seagul iliyotokea leo mchana Zanzibar ukawa umezisikia au kuzisoma sehemu mbalimbali lakini kauli hii ya Waziri wa mambo ya ndani imetoka muda mfupi uliopita. 
Kuhusu watu waliopoteza maisha au kuokolewa Waziri Nchimbi amesema “Katika abiria wanaokadiriwa kuwa zaidi ya 250 waliokua wamebebwa na boti hiyo, wameokolewa 124 wakiwa hai na waliothibitishwa na jeshi la polisi kufariki dunia ni saba tu, juhudi kubwa za uokoaji zinaendelea”
 
No comments:
Post a Comment
hey! whats up! we are happy to attend that lever we need your help by contribute with idea and other things. thank you