WEMA AMNASA DALLAS WA WOLPER
MATUKIO yaliyozua gumzo kubwa kwenye sherehe ya kuzaliwa kwa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’ iliyofanyika hivi karibuni ni pamoja na lile la msanii wa filamu, Wema Sepetu kumnasa aliyekuwa mchumba wa Jacqueline Wolper, Ramadhani Mtoro ‘Dallas’.
Mapaparazi wetu waliotinga kwenye sherehe hiyo, walishuhudia ukaribu wa wawili hao na hata ulipofika muda wa kupiga picha, Wema alimkumbatia Dallas kimahaba, hivyo kuacha maswali mengi.
Mbali na hayo, Dallas alionekana kujipendekeza kwa msanii huyo kiasi cha kuwafanya baadhi ya watu kuhisi anaweza kujiweka kwake.
“Na hivi Dallas hayuko tena na Wolper, si atahamishia majeshi kwake,” alisikika akisema kijana mmoja aliyekuwa eneo la tukio na mwingine akadakia:
“Kweli kabisa, hata Diamond anamzi
No comments:
Post a Comment
hey! whats up! we are happy to attend that lever we need your help by contribute with idea and other things. thank you